JINSI YA KUTAMBUA UHALIFU MISITUNI - AFRIKA- Swahili
Makambi ya wakataji miti hutegemea“nyama ya porini”kutoka kwa wanyama walio hatarini kama vile sokwe na sokwe-mtu. Zaidi ya hao, wakataji miti huenda wakajihusisha na biashara ya pembe za ndovu na vifaru. UJANGILI WA WANYAMA WA PORINI
Corbis/All Over Press
Vichwa na mikono ya sokwe vikiuzwa.
Sokwe-mtu wako hatarini kwa sababu ya kupotea kwa makao na uwindaji haramu.
Science Photo Library/Scanpix
17
Made with FlippingBook