How to Identify Forest Crime: Africa - Swahili

Toby Smith/EIA

Gogo la Mwaridi, mti unaoorodheshwa na CITES kama mojawapo ya spishi zilizo hatarini nchini Madagascar.

• Ukataji wa spishi zenye thamani ya juu na zilizoorodheshwa katika CITES (Mapatano ya Biashara ya Kimataifa ya Spishi za Wanyama na Mimea Pori zilizo Hatarini) • Hati batili (ikijumuisha kibali cha CITES) • Magogo haramu ya spishi zilizohifadhiwa, yanayojumuishwa katika ugavi wa tasnia ya rojo ya mbao. UVUNAJI HARAMU ! TAMBUA

Magogo ya Afrormosia, mti unaoorodheshwa na CITES kama mojawapo ya spishi zilizo hatarini nchini Kongo.

8

Made with FlippingBook - professional solution for displaying marketing and sales documents online