How to Identify Forest Crime: Africa - Swahili

Makambi ya wakataji miti hutegemea“nyama ya porini”kutoka kwa wanyama walio hatarini kama vile sokwe na sokwe-mtu. Zaidi ya hao, wakataji miti huenda wakajihusisha na biashara ya pembe za ndovu na vifaru. UJANGILI WA WANYAMA WA PORINI

Corbis/All Over Press

Vichwa na mikono ya sokwe vikiuzwa.

Sokwe-mtu wako hatarini kwa sababu ya kupotea kwa makao na uwindaji haramu.

Science Photo Library/Scanpix

17

Made with FlippingBook - professional solution for displaying marketing and sales documents online